Top News Today

Hot News

Popular News [ View all Popular News ]

Latest Updates

Friday, March 7, 2014

HII NDO IDADI KAMILI YA MADEMU AMBAO WALISHA TEMBEA NA DIAMOND..AMA KWELI NI SUKARI YA WAREMBO

0 comments

 WALIOSEMA ujana ni maji ya moto hawakukosea. Mkali wao kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni msanii ambaye ana idadi kubwa ya msururu wa wanawake  ambao ametoka nao kimapenzi ambapo, wapo wanaojulikana na wengine hawajulikani.
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Leo katika makala haya tunakuletea wanawake ambao kwa nyakati tofauti walibanjuka kimapenzi na Diamond ambao kimsingi kutokana na idadi yake, anadhihirisha jina lake la Sukari ya Warembo
Takwimu zinaonesha kuwa karibu kila mwaka jamaa anabadilisha wapenzi ambapo wanawake wamekuwa wakipokezana vijiti.

UPENDO MUSHI ‘PENDO’
Huyu ni msanii wa filamu ambaye alitokea katika Shindano la Maisha Plus. Aliwahi kukiri kwamba alishatoka kimapenzi na Diamond kabla hajawa maarufu kama alivyo sasa, hawakudumu muda mrefu.
WEMA SEPETU
Ni mlimbwende wa Tanzania na msanii wa filamu kwa sasa. Diamond baada ya kupata umaarufu kidogo, alikutana na Wema na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi jambo lililofanya umaarufu wake kuzidi mara dufu.

Wema na Diamond waliachana na kila mmoja akawa anaendelea na maisha yake lakini mwaka jana wawili hao walirudiana na mpaka sasa wapo pamoja. PENNIEL MUNGILWA ‘PENNY’
Kwa muda huo ambao Diamond aliachana na Wema, ulikuwa ni mwanya wa Mtangazaji wa Runinga ya DTV, Penniel Mungilwa kumiliki penzi la Mbongo Fleva huyo. 

Alikuwa ni rafiki wa karibu na Wema, akampindua kwa Diamond. Mapenzi yao yalidumu kwa muda mfupi kabla ya mkali huyo kurudisha majeshi kwa Wema kwa mara nyingine. 
ANGEL MAGGY
Diamond wakati akiwa na Wema kabla hawajaachana iliripotiwa kwamba alikuwa akisaliti penzi lao ambapo alitoka kimapenzi na msichana Angel ambaye ni Mkenya lakini hawakukaa muda mrefu, wakamwagana.
JOKATE MWEGELO
Ni mwanamitindo maarufu Tanzania. Penzi lao lilikuwa la muda mfupi na la siri kwani hawakujiachia kama ilivyokuwa kwa Penny na Wema. Huyu naye alikuwa ni rafiki wa Wema lakini alitoka naye kimapenzi ambapo baada ya kuachana, Diamond alimuomba msamaha na kusema alimkosea sana kwani ni mwanamke ambaye alimpenda lakini alimpotezea baada ya kumpata Wema.
JACQUELINE WOLPER
Ni msanii wa filamu Bongo. Wolper na Diamond walitoka kimapenzi lakini waliachana katika mazingira ya kutatanisha jambo lililomfanya Diamond amtungie wimbo kutokana na jinsi alivyoumia.
 

NAIMA
Huyu alikuwa ni rafiki wa karibu sana wa Wema lakini alitoka kimapenzi na Diamond hali iliyosababisha wanawake hawa kuwa na bifu kwa sababu ya kushea mwanaume huyo mmoja.
REHEMA FABIAN
Huyu ni mrembo aliyeshikilia Taji la Miss Kiswahili ambapo naye aliingia kwenye listi ya kutoka kimapenzi na Diamond. Uhusiano wa wawili hawa haukuwa wa muda mrefu ilikuwa ni kama kupita tu.
 

NATASHA Ni mwanadada aliyeshiriki kwenye moja ya video za Diamond. Baada ya hapo habari zilenea kwamba Diamond amempitia ambapo nao hawakukaa muda mrefu. Baada ya sarakasi zote za wapenzi, sasa Diamond ametulia kwa Beautiful Onyinye, Wema Sepetu! Sijui nini kitafuata!

Sunday, February 9, 2014

NEWZ....LICHA YA MANENO MACHAFU, STARLISHA "CHAGGA BARBIE" ARUDISHA MAJESHI KWA PREZZO...JIONEE KAULI YAKE HAPA...!

0 comments

Pamoja na matusi yote ambayo alishambuliwa na kudhalilishwa Msanii Prezzo na mpenzi wake Starlisha Tillya al-maarufu CHAGGA BARBIE  still ule msemo wa wagombanao ndio wapatanao ulishika nafasi yake baada ya mwanadada wa Kitanzania ambaye anaishi Marekani ameshindwa kumsahau mfalme mswati Prezzo nakuamua kupost picha ambayo aliandika na maneno kadhaa ambayo yalidhihilisha kuwa wamerudiana kama inavyoonekana hapo chini katika picha; 

SNURA AFUNGUKA KUHUSU MAJANGA MAJANGA YANAYOMKUTA NOWDAYZ....

0 comments
STAA aliyeliteka soko la mduara kwa kibao chake cha Majanga, Snura Mushi amesema watu wenye chuki na yeye wamepanga njama za kumshusha kwenye chati kutokana na maendeleo yake.

Snura Mushi.
Akipiga stori na paparazi wetu juzi, Snura alisema: “Nashangaa sana ninapofanya jambo zuri halafu watu wanaligeuza kuwa baya ili nichafuke jina na kunipunguzia mvuto kwa mashabiki wangu.” Chanzo cha yote ni baada ya mwanadada huyo kupiga shoo kwenye Ukumbi wa Buliyaga, Temeke, Dar siku chache zilizopita, kundi la watu wasiojulikana walianza kueneza taarifa kuwa alifanya vibaya na mashabiki wakamtaka ashuke jukwaani jambo ambalo alisema halikuwa na ukweli wowote.

WEMA SEPETU AJA NA MPYA NA KUBWA KULIKO HASWA....NI KUHUSU KUFA NA MAZISHI YAKE....

0 comments

Kazi ipo! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ambaye huwa haishiwi habari, ameibuka na jipya akidai kuwa akifa leo au kesho basi aagwe Uwanja wa Taifa jijini Dar, Ijumaa Wikienda limemtegea sikio.

Wema Isaac Sepetu.
Miss Tanzania huyo wa 2006/07 ambaye anakimbiza kwenye sinema za Kibongo alifunguka hayo wikiendi iliyopita wakati akiwa safarini kuelekea jijini Arusha ambapo msanii anayemilikiwa na kampuni ya Wema ya Endless Fame Production aliyetajwa kwa jina moja la Mirrow alikwenda kuangusha shoo pande hizo.

Wema aliyasema hayo alipokuwa akichangia mada ya utabiri wa mtoto wa aliyekuwa mtabiri bingwa, marehemu Sheikh Yahya Hussein, Maalim Hassan Hussein aliyetabiri kwamba wasanii wengi wenye majina makubwa watakufa mwaka 2014.
Mwanadada huyo alisema mastaa wengi wameaga dunia na kuagwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni lakini yeye itakuwa Uwanja wa Taifa.
Alitolea mifano ya waliokuwa mastaa kama Steven Kanumba, Albert Mangweha ‘Ngwea’, Julius Nyaisangah ‘Anko J’ na wengine kuwa waliagwa Leaders lakini kwa namna ambavyo jina lake ni kubwa ndani na nje ya Bongo viwanja hivyo havitatosha.

“Mimi nakwambia kabisa, pale Leaders hapatatosha. Kama nikifa leo au kesho, niagwe Uwanja wa Taifa ili kila mtu apate nafasi. Naamini watu watakuwa wengi sana so Leaders hapatatosha,” alisema staa huyo mkubwa anayeminya kilamalavidavi na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Ijumaa Wikienda lilipododosa kwa marafiki zake wa karibu lilitonywa kwamba tayari jambo hilo alishawaeleza na kwamba aliomba iwe hivyo. Mbali na wasanii, Maalim Hassan alitabiri pia kuwa mwaka huu kuna mwanasiasa mkubwa atakufa na utakuwa msiba wa kitaifa, vifo vya wanahabari na malumbano makubwa juu ya serikali tatu.
Wiki iliyopita ilijaa simanzi baada ya kufariki dunia kwa watu maarufu kama mchekeshaji wa Futuhi ya Star TV, Omary Majuto ‘Mzee Dude’, mpiga ngoma wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Soud Mohamed ‘MCD’, mwigizaji wa Bongo Movies, Victor Peter na mtangazaji wa East Africa Radio, Kenneth Kidago Lyanga.

She won't stop- Chika Ike continues her sexy workout(Photos)

0 comments

She started yesterday and she is showing no sign of own dow.Her goal is to get her bikini body back...
Sexy belly..Like JLO...

Saturday, February 8, 2014

SUGU AWAPA MAKAVU LIVE BILA CHENGA KINANA NA NAPE

0 comments

Akihutubia mkutano wa kufunga kampeni za udiwani kata ya malindo wilayani rungwe,Sugu amesema yeye kajenga ghorofa jijini mbeya na wala si mpangaji kama adhanivyo nape pia kamwambia kinana kuwa karibu na wakulima ni kuwapa mbolea na si kupiga picha na wakulima kisha kutoa gazetini. Akizungumzia hoja ya nape aliyesema sugu ni mpangaji jimbo la mbeya mjini sugu amekosoa hoja hiyo,pia kuhusu mgogoro ndani ya chadema kasema imebaki historia ila wana ccm wana gogoro linalokua kila siku.hakika nguvu ya umma hakuna kulala!

POPULAR